Search Episodes
More Results
|
Umma Africa 1.0 |
|
The Umma Project is dedicated to promoting a positive hip hop community in Africa. With that being said, we've got a few African hip hop joints for your ears.
Track 1: "Breathe" by Nthabi featuring Reason. Holding down South Africa's flourishing hip hop scene, this track from Nthabi and Reason is a proper introduction to our first edition podcast.
Track 2: Ukoo Flani...
|
http://sefmarko.podOmatic.com/entry/2008-06-23T11_07_35-07_00
|
|
"Tutaendelea kuwafunua mafisadi" --- Kubenea |
|
KLHN imepata nafasi ya kuzungumza na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Bw. Robert Manumba kuhusu suala la kuvamiwa waandishi wa wahabari. Bw. Manumba hata hivyo amekataa kuhojiwa akidai kuwa tayari wameshatoa statement yao na maelezo yao ndivyo yalivyo hadi sasa. Nilipojaribu kumbana zaidi Bw. Manumba alikata simu.
Hata hivyo tumepata nafasi ya kuzungumza na Mhariri Mtendaji wa Hali Halisi Bw. Saed Kubenea ambaye ameelezea kwa kirefu kilichojiri na pia kutoboa mambo mengine...
|
http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-07-19T21_49_25-07_00
|
|
Musician Jose Camelion falls from Tanzania hotel |
|
Musician falls from Tanzania hotel
Mugira Fredrick, AfricaNews reporter in Kampala, Uganda
Ugandan musician, Jose Chameleon, has been admitted in Nsambya hospital in Kampala after falling from the third floor of a five star hotel. He broke his legs in the process at Impala hotel in Arusha, Tanzania. Cameleon was in Tanzania for concerts in Arusha and Tanga where the incidence happened.
Chameleon said after performing in Tanga in Tanzania Saturday night, he went to Arusha where his accommoda...
|
http://pablomachine.podOmatic.com/entry/2008-10-08T05_52_28-07_00
|
|
Serikali yaipiga mkwara Mwanahalisi, Kubenea ajibu hoja! |
| Kwenye ukurasa wa mbele kuna habari iliyozua kasheshe Tanzania. Habari hii ilitoka kwenye gazeti la Mwanahalisi la Jumatano la kupokelewa kwake kumekuwa na hisia za aina yake kwani siku ya pili yake Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo iliandika barua kwa Mwanahalisi kutaka maelezo juu ya habari hiyo ambayo kwa maoni ya serikali inaonekana ni kiuchochezi na kiuchonganishi. Watu wa serikali wanaona kuwa habari hiyo ilikuwa na lengo la kumchonganisha Rais na viongozi wenzake wa CCM hasa Mhe. Edward Lowas... |
http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2008-10-09T22_54_00-07_00
|
More Results
|
|